Numbers 27:11

11 aIkiwa baba yake hakuwa na ndugu wa kiume, toa urithi wake kwa ndugu wa karibu katika ukoo wake, ili aumiliki. Hili litakuwa dai la sheria kwa Waisraeli, kama Bwana alivyomwamuru Musa.’ ”

Yoshua Kuchukua Nafasi Ya Musa

(Kumbukumbu 31:1-8)

Copyright information for SwhKC